Skip to main content

KARIBU KATIKA MAFUNZO YA UJASIRIAMALI


 *NYAMKA ENTERPRISES ONLINE COLLEGE* tunakuletea mafunzo maalum ya *utengenezaji bidhaa za viwandani yatakayoanza tarehe 21-12-2020 hadi 03-01-2021

👇👇👇👇👇👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/KVvV45capblHiq4nxwQVtf

_______

*ORODHA YA MASOMO TUFUNDISHAYO:*⬇



▶:SABUNI ZA MAJI NZITO (Multipulpose liquid Soap)-kanuni 4


▶:SABUNI ZA UNGA ( Detergent powder)

▶:SABUNI ZA MAGADI/KIGOMA AU GWANJI- Kanuni 2


▶:SABUNI ZA TIBA( Herbal  Bar Soap)

   🔹sabuni za   mwarobaini

   🔹Sabuni za Ukwaju

   🔹Sabuni za Aloe Vera

   🔹Sabuni za Kiazi

   🔹Sabuni za Limao

   🔹Sabuni za Sulfur

   🔹Sabuni za Mchele

   🔹Sabuni za Karoti

   🔹Sabuni za Tango

   🔹Sabuni za Mawese & Asali

   🔹Sabuni za Manjano

   🔹Sabuni za Mlonge


▶:TILES & SINK CLEANER (Disinfectant Liquid Soap)- Dawa ya chooni[ kanuni 2]


▶:SHAMPOO( Kanuni 2)

        🔹Shampoo ya Tango

        🔹Shampoo ya Aloevera

        🔹Shampoo ya avocado/parachichi

        🔹Shampoo ya Asali


▶:DAWA YA KUUWA WADUDU WANAOTAMBAA( Mende, kunguni n.k)- kanuni 2

▶:UTENGENEZAJI WA CHAKI

▶:UTENGENEZAJI WA MAFUTA.

      🔹mafuta ya mgando(petroleum jelly)

      🔹mafuta ya nazi( coconut oil)-kanuni 2

      🔹mafuta ya Nyonyo( castor oil)

      🔹mafuta ya asili ya kurefusha na kustawisha nywele

      🔹mafuta ya Mbu

      🔹Mafuta ya mgando ya nazi

▶:KITAKASA MIKONO( Hand sanitizer)

▶:RANGI NYEUSI YA VIATU( KIWI)

▶SCRUB YA KAHAWA

▶JINSI YA KUONDOA MICHIRIZI( Stretch Marks)

▶DAWA YA MADOA( JIKI )

▶MKAA MBADALA

▶JINSI YA KUSHONA MAZULIA( Carpet )

       🔸Zulia la kiroba

       🔸Zulia la pompom

       🔸Zulia la wavu

▶UTENGENEZAJI WA MAKAPU YA PLASTIKI.

▶TAMBI ZA DENGU

▶KARANGA ZA MAYAI NA PENUT BUTTER

▶UBUYU WA ZANZIBAR

▶UTENGENEZAJI WA MISHUMAA

▶UTENGENEZAJI WA BARAFU( ICE- CREAM)

     🔸barafu za maziwa

     🔸barafu za Limao

     🔸barafu za Embe na maziwa

    🔸barafu za ukwaju na ndimu

    🔸barafu za ubuyu

    🔸barafu za Chocolate

    🔸barafu za ukwaju

    🔸barafu za Rangi 2

▶UTENGENEZAJI WA PILIPILI AINA 8 ZISIZO HARIBIKA.

       🔸pilipili ya ukwaju

       🔸pilipili ya embe

       🔸pilipili ya karoti

       🔸pilipili ya parachichi

       🔸pilipili ya papai

       🔸Achali ya maembe( ubuyu wa maembe)

       🔸Tomato souce

       🔸Mbilimbi

▶BATIKI AINA TOFAUTI TOFAUTI

▶JINSI YA KUSAJILI BIDHAA

▶JINSI YA KUSAJILI VIKUNDI/ VICOBA

▶MBINU ZA MASOKO.

_____________________


🏧Ada Tsh 3,000 tu, utasoma  kwa videos, Audio na notes kupitia Magroup yetu ya watsap. Pia utafundishwa na WALIMU wazoefu wa bidhaa za viwandani.Masomo yataanza tarehe 21/12-03/01/2021

______KARIBUNI SANA___

👇👇👇👇👇👇👇👇👇

https://chat.whatsapp.com/KVvV45capblHiq4nxwQVtf

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI ( MULTI PURPOSE LIQUID SOAP)

*🛑VIFAA MAMA KTK SABUNI YA MAJI*👇🏻ni hivi ndio vinafanya iitwe  sabuni 👇🏻 *Sulphonic acid* *Sless* *Rangi* *Chumvi.* *Manukato* *👉Sulphonic acid* kazi yake kubwa ni kuondoa uchafu wa mahali wakati unatumia sabuni, pia inaongeza uzito na povu ktk sabuni yetu, sulphonic acid ikizidishwa ktk sabuni huleta mchubuko wa mikono kea mtumiaji. *👉Manukato-* kwaajili ya harufu. *👉Sless( ungarol)* Kai yake ni kuleta povu, kuongeza uzito, na pia huondoa uchafu wa mahali wakati unapotumia sabuni. *👉Rangi* Kuleta rangi ya sabuni pekee. *👉Chumvi* Huongeza uzito ktk sabuni, hutunza sabuni isiharibike, pia ikizidishwa hukata sabuni na kuifanya iwe nyepesi Kama maji na kuisha povu. *🛑Hivi ndio👆🏽 vifaa mama ktk utengenezaji was sabuni ya maji* *🛑Vifaa vya nyongeza👇🏻* *📚 Gryselin-* kazi yake kubwa ni kulainisha sabuni na kuzuia michubuko ya ngozi kwa mtumiaji wa sabuni hiyo. *📚 Formaline-* kazi ya yake kutunza sabuni isiharibike, ila formaline ...

JINSI YA KUTENGENEZA HAIR SHAMPOO

 ▶ HAIR SHAMPOO◀ _______________________ Hii ni sabuni ambayo imebuniwa kwa ajili ya kusafishia nywele hata kama zimekaa muda mrefu bila kusafishwa. Hufanya nywele ziwe safi, huondoa uchafu na kuua wadudu walioko kwenye nywele na huondoa mba kwenye nywele. Hapa tutajifunza aina tofauti tofauti za shampoo zikiwemo zenye virutubisho vya matunda na mimea. ▶ SHAMPOO YA NYWELE NZITO NA BORA. 👉MALIGHAFI. 🔸Sless – 1kg. 🔸Cde – 250gm. 🔸Gryceline – vijiko vitano vya chakula (50ml). 🔸Chumvi -500gm. 🔸Rangi – 5gm. 🔸Perfume – 5gm. 🔸Formaline /citric acid – vijiko 3. 🔸Tigna – 125gm. 🔸Maji – 25lt. 👉VIFAA. 🔹Mwiko. 🔹Beseni. 🔹Mask. 🔹Miwani. 🔹Koti. ▶JINSI YA KIUTENGENEZA◀ 1⃣Andaa maji lita 12 kisha tia humo tigna na koroga hadi upate uji mzito kisha weka kando. 2⃣Chukua sless koroga ndani ya maji lita 12 hadi iyeyuke kabisa kisha weka kando. 3⃣Chukua maji nusu lita korogea humo chumvi 500gm hadi iyeyuke yote kisha weka kando.  4⃣Chukua maji robo lita  tia  rangi na korog...

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI Biashara ya kuuza Rasta na Mawigi kwa bei ya jumla, wengi wanapata shida kuja paka Dar kununua Rasta na Mawigi kwa gharama ya juu, mfanyabiashara akiwa mgeni Dar anatumia gharama kubwa sana kwa kufikia Guest pamoja na Chakula. Kama ukiwai kutoa hii huduma kwa wafanyabiashara wa mikoani ni FURSA kwako na unakuwa umewasaidia kupunguza gharama kubwa na kupata faida kuwa kwao. Ukitaka kufanikiwa katika hii biashara fanya yafuatayo : Tafuta maduka yanayouza RASTA & MAWIGI kwa bei ya chini. Ili uweze kutoa OFA nzuri na kupata wateja wengi wa mikoani na kuwasaidia nao kupata faida kubwa kwa kununua kwako. Fungua Instagram Account; post RASTA & MAWIGI aina mbalimbali na bei zake, kumpa mteja njia nyingi za kuchagua bidhaa anayotaka kwenda kuuza kwa wateja wake. Pia post video za watu waliosuka kwa kutumia bidhaa zako au waliotumia kwa kupiga picha. Tumia Bank Account, kupokea malipo kutoka kwa wateja wako; kwa kutumia bank akaunti utakuwa umejilind...