Skip to main content

BIASHARA YA UDALALI WA NYUMBA


                        DALALI WA NYUMBA

APP ya udalali wa nyumba, kila siku watu wana tafuta chumba au nyumba kwa lengo la kubadilisha madhari. Dalali wa nyumba au vyumba ni kazi sana kumpata kama unahamia sehemu ambayo wewe ni mgeni , madalali wengi ni gharama sana kuzungusha sehemu wewe unataka. Kuna changamoto kubwa sana kwenye kutafuta chumba au nyumba kwa kutafuta madalali na kupata chumba ambacho unataka pia ni changamoto kubwa na inachukua muda mrefu.

APP ya udalali zipo lakini bado hazijatatua matatizo ya watu kupata chumba kirahisi, APP bado ina kuunganisha na madalali wa kukutafutia chumba.  APP ilipo bado haimpi mtu uwakika wa kupata chumba kwa wakati au anachokitaka.

Suluhisho la tatizo la kutafuta chumba au vyumba ni kutengeneza APP ambayo inaongoza mpangaji na mwenye nyumba moja kwa moja na kuchangua chumba au nyumba viliivyopo kwa mwenye nyumba husika.

Akishapata chumba/nyumba analipia kodi ya miezi 6 + kodi ya mwezi 1 ya dalali (kamisheni) kwa kutumia tigopesa/airtel money/mpesa/halopesa kupitia APP, na malipo yote yanatumwa kwenye akaunti ya kwenye APP paka mpangaji kuhamia kwenye nyumba/chumba ndiyo pesa inaitumwa kwenye akaunti ya mwenye nyumba.



Njia ya kufanya ili kufanikiwa kwenye hii Project ni kama ifuatayo:



Sajili APP yako kama kampuni (Brela)

Ingia kwenye mfumo wa kodi TRA na kupata TIN

Sajili manispaa kwa kupata leseni ya biashara yako

Fungua banki akaunti

Fungua COLLECTION ACCOUNT kwenye kampuni ya simu (Tigo, Vodacom, Airtel na Halotel)

Weka masharti ya kusajili kwenye APP na matangazo yao kuonekana ni lazima wenye nyumba kuweka Hati ya nyumba, National ID, na picha.



Weka limit ya kweka picha ya nyumba au vyumba kwenye APP(min 6 pics).



Namna APP itavyokuwa inafanya kazi:



Mpangaji ana jisajili kwa kuweka namba ya simu na majina yake mawili.

Mpangaji ana chagua vyumba au nyumba ambavyo vinapatakana kwa sehemu husika kwa kuchagua sehemu mfano wilaya->kata->mtaa

Mpangaji akishapata chumba anachokipata analipia na peka inaingia kwenye collection account kabla haijatumwa kwa mwenye nyumba.

Chumba kilicho lipiwa hakitaonekana paka mpangaji ahame kwenye hiyo chumba au vyumba.

Mpangaji lazima aongeze kodi ya mwezi 1 kama kamisheni ya dalali.


Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI ( MULTI PURPOSE LIQUID SOAP)

*🛑VIFAA MAMA KTK SABUNI YA MAJI*👇🏻ni hivi ndio vinafanya iitwe  sabuni 👇🏻 *Sulphonic acid* *Sless* *Rangi* *Chumvi.* *Manukato* *👉Sulphonic acid* kazi yake kubwa ni kuondoa uchafu wa mahali wakati unatumia sabuni, pia inaongeza uzito na povu ktk sabuni yetu, sulphonic acid ikizidishwa ktk sabuni huleta mchubuko wa mikono kea mtumiaji. *👉Manukato-* kwaajili ya harufu. *👉Sless( ungarol)* Kai yake ni kuleta povu, kuongeza uzito, na pia huondoa uchafu wa mahali wakati unapotumia sabuni. *👉Rangi* Kuleta rangi ya sabuni pekee. *👉Chumvi* Huongeza uzito ktk sabuni, hutunza sabuni isiharibike, pia ikizidishwa hukata sabuni na kuifanya iwe nyepesi Kama maji na kuisha povu. *🛑Hivi ndio👆🏽 vifaa mama ktk utengenezaji was sabuni ya maji* *🛑Vifaa vya nyongeza👇🏻* *📚 Gryselin-* kazi yake kubwa ni kulainisha sabuni na kuzuia michubuko ya ngozi kwa mtumiaji wa sabuni hiyo. *📚 Formaline-* kazi ya yake kutunza sabuni isiharibike, ila formaline ...

JINSI YA KUTENGENEZA HAIR SHAMPOO

 ▶ HAIR SHAMPOO◀ _______________________ Hii ni sabuni ambayo imebuniwa kwa ajili ya kusafishia nywele hata kama zimekaa muda mrefu bila kusafishwa. Hufanya nywele ziwe safi, huondoa uchafu na kuua wadudu walioko kwenye nywele na huondoa mba kwenye nywele. Hapa tutajifunza aina tofauti tofauti za shampoo zikiwemo zenye virutubisho vya matunda na mimea. ▶ SHAMPOO YA NYWELE NZITO NA BORA. 👉MALIGHAFI. 🔸Sless – 1kg. 🔸Cde – 250gm. 🔸Gryceline – vijiko vitano vya chakula (50ml). 🔸Chumvi -500gm. 🔸Rangi – 5gm. 🔸Perfume – 5gm. 🔸Formaline /citric acid – vijiko 3. 🔸Tigna – 125gm. 🔸Maji – 25lt. 👉VIFAA. 🔹Mwiko. 🔹Beseni. 🔹Mask. 🔹Miwani. 🔹Koti. ▶JINSI YA KIUTENGENEZA◀ 1⃣Andaa maji lita 12 kisha tia humo tigna na koroga hadi upate uji mzito kisha weka kando. 2⃣Chukua sless koroga ndani ya maji lita 12 hadi iyeyuke kabisa kisha weka kando. 3⃣Chukua maji nusu lita korogea humo chumvi 500gm hadi iyeyuke yote kisha weka kando.  4⃣Chukua maji robo lita  tia  rangi na korog...

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI Biashara ya kuuza Rasta na Mawigi kwa bei ya jumla, wengi wanapata shida kuja paka Dar kununua Rasta na Mawigi kwa gharama ya juu, mfanyabiashara akiwa mgeni Dar anatumia gharama kubwa sana kwa kufikia Guest pamoja na Chakula. Kama ukiwai kutoa hii huduma kwa wafanyabiashara wa mikoani ni FURSA kwako na unakuwa umewasaidia kupunguza gharama kubwa na kupata faida kuwa kwao. Ukitaka kufanikiwa katika hii biashara fanya yafuatayo : Tafuta maduka yanayouza RASTA & MAWIGI kwa bei ya chini. Ili uweze kutoa OFA nzuri na kupata wateja wengi wa mikoani na kuwasaidia nao kupata faida kubwa kwa kununua kwako. Fungua Instagram Account; post RASTA & MAWIGI aina mbalimbali na bei zake, kumpa mteja njia nyingi za kuchagua bidhaa anayotaka kwenda kuuza kwa wateja wake. Pia post video za watu waliosuka kwa kutumia bidhaa zako au waliotumia kwa kupiga picha. Tumia Bank Account, kupokea malipo kutoka kwa wateja wako; kwa kutumia bank akaunti utakuwa umejilind...