Skip to main content

BIASHARA YA JUICE


                       BIASHARA YA JUICE

Biashara ya juice imekuwa maarufu sana nchini, kila sehemu wanauza juice ambazo zinafanana kwa kila kitu kinachotaufisha na majina ya ofisi zao.

Kama unataka kuanzisha biashara ya juice anzisha tengeneza juice za aina mbili tu, moja iwe na mchanganyiko vitu mbalimbali kuleta radha na kurutubisho zaidi na kuvuta wateja wengi zaidi.  Mchanganyiko huo ni kama ufuatao



A. MASTER JUICE

1. Muhogo

2. Karanga

3. Maziwa fresh



Changanya kwa pamoja na weka kwenye BLENDER bila kuweka sukari wala maji, maziwa yanasimama badala ya maji.

Mchanganyiko huu una virutubisho vingi sana vinavyo mwenzesha mtu kupata nguvu na kuongeza usharishaji mkubwa sana wa mbegu za kiume na kuongeza kiasi kikubwa za nguvu za kiume.



B. TENDE & MAZIWA FRESH.

Juice ya tende na maziwa pia unaongeza sana nguvu kwenye mwili na kuchochea nguvu nyingi sana kwa wale wenye matatizo ya nguvu za kiume.

Unavyo kunywa mara nyingi ndiyo unavyo ongeza zaidi nguvu za kiume na kuimalika zaidi na zaidi.

Kuwa mdada kwenye biashara hii,  ili kuwa motivate zaidi na zaidi wakati wa kuhudumia wateja wako na kujaribu kuwa kama watu wa PWANI ingawa wewe ni mwanamke wa mikoani hahaha.

Ubunifu kwenye biashara ni muhimu sana ili kuwa vuta wateja wengi zaidi na kubadilisha biashara na maisha yako kiujumla.

Na wateja wako watakuwa ni WANAUME ONLY.



Kwa kuchagua aina ya wateja itakusaidia kujitofautisha na wauza juice walio wengi na kukufanya uwe na nguvu ya kutawala soko kwasababu umedili na aina moja ya wateja, ambacho ni kitu kizuri sana kwenye biashara ya ushindani.



“Kimbilia kuwa tofauti na sio kuwa bora.”



“Focus on small area”




Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI ( MULTI PURPOSE LIQUID SOAP)

*🛑VIFAA MAMA KTK SABUNI YA MAJI*👇🏻ni hivi ndio vinafanya iitwe  sabuni 👇🏻 *Sulphonic acid* *Sless* *Rangi* *Chumvi.* *Manukato* *👉Sulphonic acid* kazi yake kubwa ni kuondoa uchafu wa mahali wakati unatumia sabuni, pia inaongeza uzito na povu ktk sabuni yetu, sulphonic acid ikizidishwa ktk sabuni huleta mchubuko wa mikono kea mtumiaji. *👉Manukato-* kwaajili ya harufu. *👉Sless( ungarol)* Kai yake ni kuleta povu, kuongeza uzito, na pia huondoa uchafu wa mahali wakati unapotumia sabuni. *👉Rangi* Kuleta rangi ya sabuni pekee. *👉Chumvi* Huongeza uzito ktk sabuni, hutunza sabuni isiharibike, pia ikizidishwa hukata sabuni na kuifanya iwe nyepesi Kama maji na kuisha povu. *🛑Hivi ndio👆🏽 vifaa mama ktk utengenezaji was sabuni ya maji* *🛑Vifaa vya nyongeza👇🏻* *📚 Gryselin-* kazi yake kubwa ni kulainisha sabuni na kuzuia michubuko ya ngozi kwa mtumiaji wa sabuni hiyo. *📚 Formaline-* kazi ya yake kutunza sabuni isiharibike, ila formaline ...

JINSI YA KUTENGENEZA HAIR SHAMPOO

 ▶ HAIR SHAMPOO◀ _______________________ Hii ni sabuni ambayo imebuniwa kwa ajili ya kusafishia nywele hata kama zimekaa muda mrefu bila kusafishwa. Hufanya nywele ziwe safi, huondoa uchafu na kuua wadudu walioko kwenye nywele na huondoa mba kwenye nywele. Hapa tutajifunza aina tofauti tofauti za shampoo zikiwemo zenye virutubisho vya matunda na mimea. ▶ SHAMPOO YA NYWELE NZITO NA BORA. 👉MALIGHAFI. 🔸Sless – 1kg. 🔸Cde – 250gm. 🔸Gryceline – vijiko vitano vya chakula (50ml). 🔸Chumvi -500gm. 🔸Rangi – 5gm. 🔸Perfume – 5gm. 🔸Formaline /citric acid – vijiko 3. 🔸Tigna – 125gm. 🔸Maji – 25lt. 👉VIFAA. 🔹Mwiko. 🔹Beseni. 🔹Mask. 🔹Miwani. 🔹Koti. ▶JINSI YA KIUTENGENEZA◀ 1⃣Andaa maji lita 12 kisha tia humo tigna na koroga hadi upate uji mzito kisha weka kando. 2⃣Chukua sless koroga ndani ya maji lita 12 hadi iyeyuke kabisa kisha weka kando. 3⃣Chukua maji nusu lita korogea humo chumvi 500gm hadi iyeyuke yote kisha weka kando.  4⃣Chukua maji robo lita  tia  rangi na korog...

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAGADI/KIGOMA/GWANJI

Jinsi ya kutengeneza Sabuni ya magadi( gwanji)ama Sabuni ya kigoma. MAHITAJI Caustic Soda kilo 3 Mafuta ya mawese lita 20 Sodium Silicate Maji lita 10 Rangi ya bluu vijiko 3 Jinsi ya kutengeneza. 1)Chukuwa coustic soda changanya na maji na uanze kukoroga kuelekea upande mmoja endelea kufanya hivyo hadi vichanganyikane vizur baada ya hapo iache kwa saa 24 2)Chukuwa kindoo kidogo na upunguze mafuta lita 3 kwa ajili ya kuweka rangi pembeni,weka rangi vijiko 3 ,changanya na mafuta uliyopunguza lita 3 kisha koroga mpaka yachanganyikane vizur kabisa 3)Chukuwa coustic soda uliyoloweka kwenye ndoo kubwa ,kisha tia mafuta na uendelee kukoroga kuekekea upande mmoja kwa nguvu na kwa haraka,tia sodium silgett kwa kunyunyuzia kidogo kidogo, endelea kukoroga hadi vichanganyikane viwe kitu kimoja 4)Baada ya hapo andaa ndoo nyingine ndogo ,chukuwa uji uliokoroga au mkorogo wako kias kwa ajili ya kuchanganya na rangi mwanzo na mafuta kisha koroga kwa pamoja vichanganyikane vizur ...