Skip to main content

VIDONDA VYA TUMBO NA TIBA SAHIHI YA VIDONDA VYA TUMBO

 *VIDONDA* *VYA* *TUMBO* 

 *NA* *TIBA* *SAHIHI* *YA* *VIDONDA* *VYA* *TUMBO* . 



☑️Vidonda Vya tumbo  ni majeraha ndani ya kuta za tumbo ambayo huashiria kupungiwa kwa maji katika mfumo wa mmeng 'enyo wa chakula, husababishwa na asidi kuzidi mwilini kuliko alkaline na pia vinaweza kuletwa na bacteria anaeitwa *Hpyroili* . 


 *DALILI* *ZA* *VIDONDA* *VYA* *TUMBO* . 


 *1* maumivu chini ya kitovu. 


 *2* maumivu ya kiuno na mgongo


 *3* .mwili kupata ganzi. 


 *4.* uchovu kupita kiasi bila kufanya kazi, ngumu. 


 *5* .kichefuchefu au kujihisi kiungulia. 


 *6* . kukosa choo kabisa au kuvimbiwa kupata choo kigumu chenye kukatika Kama mbuzi. 


 *7* .kusahausahau mambo na kuwa na hasira ovyo. 


 *8* .tumbo kujaa gesi au kuunguruma. 


 *9* .kukosa hamu ya kula au kula kupita kiasi. 


 *10* .kuharisha kutapika nyongo au kutapika damu. 


 *KINGA* *YA* *VIDONDA* *VYA* *TUMBO* . 


 *1* .Punguza Hydroric Acid_kunywa maji kabla ya kula chakula kufwata taratibu za chakula kwani watu wengne hukimbilila kula bila kunywa maji wakati wamekaa na njaa mda mrefu.


 *2* .pata usingiz wa kutosha. 


 *3* . punguza au Acha kabisa matumizi ya vitu kama pombe, kahawa zenye caffeine, sigara n. k


 *4* .punguza mawazo


Pindi upatapo Dalili hizo mojawapo fika hospital iliyokaribu na wewe kujua suruhisho la tiba lá tatizo lako.

  

Lakini piah  tuna tiba sahihi na ya uhakika na bor iitwayo 

➡️ *Probio* *3* 

 ambayo huenda kuzalisha probiotic kwajili ya  kujenga kuta za vidonda vya tumbo zilizo athriwa.

 ➡️Na *Constirelax* kwa jili ya kwenda kutibu na kuboresha mfumo wa mmeng 'enyo wa chakula kiujumla

➡️Na *Antdarr* Kwa ajili ya kwenda kutoa tindikali zilizopo kwenye kuta za utumbo

☑️Kwa mawasiliano

Tucheki kwa simu: 0748491485

Comments

Popular posts from this blog

JINSI YA KUTENGENEZA SABUNI YA MAJI ( MULTI PURPOSE LIQUID SOAP)

*🛑VIFAA MAMA KTK SABUNI YA MAJI*👇🏻ni hivi ndio vinafanya iitwe  sabuni 👇🏻 *Sulphonic acid* *Sless* *Rangi* *Chumvi.* *Manukato* *👉Sulphonic acid* kazi yake kubwa ni kuondoa uchafu wa mahali wakati unatumia sabuni, pia inaongeza uzito na povu ktk sabuni yetu, sulphonic acid ikizidishwa ktk sabuni huleta mchubuko wa mikono kea mtumiaji. *👉Manukato-* kwaajili ya harufu. *👉Sless( ungarol)* Kai yake ni kuleta povu, kuongeza uzito, na pia huondoa uchafu wa mahali wakati unapotumia sabuni. *👉Rangi* Kuleta rangi ya sabuni pekee. *👉Chumvi* Huongeza uzito ktk sabuni, hutunza sabuni isiharibike, pia ikizidishwa hukata sabuni na kuifanya iwe nyepesi Kama maji na kuisha povu. *🛑Hivi ndio👆🏽 vifaa mama ktk utengenezaji was sabuni ya maji* *🛑Vifaa vya nyongeza👇🏻* *📚 Gryselin-* kazi yake kubwa ni kulainisha sabuni na kuzuia michubuko ya ngozi kwa mtumiaji wa sabuni hiyo. *📚 Formaline-* kazi ya yake kutunza sabuni isiharibike, ila formaline ...

JINSI YA KUTENGENEZA HAIR SHAMPOO

 ▶ HAIR SHAMPOO◀ _______________________ Hii ni sabuni ambayo imebuniwa kwa ajili ya kusafishia nywele hata kama zimekaa muda mrefu bila kusafishwa. Hufanya nywele ziwe safi, huondoa uchafu na kuua wadudu walioko kwenye nywele na huondoa mba kwenye nywele. Hapa tutajifunza aina tofauti tofauti za shampoo zikiwemo zenye virutubisho vya matunda na mimea. ▶ SHAMPOO YA NYWELE NZITO NA BORA. 👉MALIGHAFI. 🔸Sless – 1kg. 🔸Cde – 250gm. 🔸Gryceline – vijiko vitano vya chakula (50ml). 🔸Chumvi -500gm. 🔸Rangi – 5gm. 🔸Perfume – 5gm. 🔸Formaline /citric acid – vijiko 3. 🔸Tigna – 125gm. 🔸Maji – 25lt. 👉VIFAA. 🔹Mwiko. 🔹Beseni. 🔹Mask. 🔹Miwani. 🔹Koti. ▶JINSI YA KIUTENGENEZA◀ 1⃣Andaa maji lita 12 kisha tia humo tigna na koroga hadi upate uji mzito kisha weka kando. 2⃣Chukua sless koroga ndani ya maji lita 12 hadi iyeyuke kabisa kisha weka kando. 3⃣Chukua maji nusu lita korogea humo chumvi 500gm hadi iyeyuke yote kisha weka kando.  4⃣Chukua maji robo lita  tia  rangi na korog...

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI

BIASHARA YA KUUZA RASTA NA MAWIGI Biashara ya kuuza Rasta na Mawigi kwa bei ya jumla, wengi wanapata shida kuja paka Dar kununua Rasta na Mawigi kwa gharama ya juu, mfanyabiashara akiwa mgeni Dar anatumia gharama kubwa sana kwa kufikia Guest pamoja na Chakula. Kama ukiwai kutoa hii huduma kwa wafanyabiashara wa mikoani ni FURSA kwako na unakuwa umewasaidia kupunguza gharama kubwa na kupata faida kuwa kwao. Ukitaka kufanikiwa katika hii biashara fanya yafuatayo : Tafuta maduka yanayouza RASTA & MAWIGI kwa bei ya chini. Ili uweze kutoa OFA nzuri na kupata wateja wengi wa mikoani na kuwasaidia nao kupata faida kubwa kwa kununua kwako. Fungua Instagram Account; post RASTA & MAWIGI aina mbalimbali na bei zake, kumpa mteja njia nyingi za kuchagua bidhaa anayotaka kwenda kuuza kwa wateja wake. Pia post video za watu waliosuka kwa kutumia bidhaa zako au waliotumia kwa kupiga picha. Tumia Bank Account, kupokea malipo kutoka kwa wateja wako; kwa kutumia bank akaunti utakuwa umejilind...